Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Mkoa wa Mara NECTA PSLE Results

Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Dar es salaam NECTA PSLE Results
Matokeo ya Darasa la Saba 2025 Dar es salaam NECTA PSLE Results

Baraza la Mitihani la Taifa (NECTA) limetangaza rasmi Matokeo ya Darasa la Saba 2025 (NECTA PSLE Results) kwa Mkoa wa Mara, yakionesha mabadiliko chanya katika ufaulu wa wanafunzi ukilinganisha na mwaka uliopita. Mkoa wa Mara umeendelea kuwa miongoni mwa mikoa inayofanya vizuri katika mitihani ya kitaifa kutokana na jitihada za walimu, wazazi, na serikali katika kuboresha sekta ya elimu.

 

SOMA HII :  St. Alvin Institute of Health and Allied Sciences (SAIHAS) Courses Offered and Requirements,Kozi zinazotoewa na sifa za kujiunga Chuo cha Afya St.Alvin
About Burhoney 4809 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati