Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 2025
Ajira Mpya

Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 2025

BurhoneyBy BurhoneySeptember 13, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 2025
Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 2025
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Halmashauri ya Wilaya ya Karatu imetoa tangazo la kuitwa kwenye usaili kwa waombaji wa nafasi za kazi zilizotangazwa awali kupitia mfumo wa Ajira Portal. Tangazo hili limetolewa tarehe 12 Septemba 2025 na linaeleza ratiba, masharti na majina ya walioitwa kwenye usaili.

Maelekezo Muhimu kwa Wasailiwa

  1. Usaili utafanyika kuanzia 15/09/2025 hadi 18/09/2025 kulingana na kada.

  2. Kila msailiwa anatakiwa kuwa na kitambulisho halali (Kitambulisho cha Mkazi, NIDA, kura, uraia, kazi au hati ya kusafiria).

  3. Wasailiwa waje na vyeti halisi vya elimu na taaluma, kuanzia cheti cha kuzaliwa, Kidato cha IV, Kidato cha VI, Astashahada na Stashahada kulingana na sifa za nafasi.

  4. Testimonials, Provisional Results, Statement of Results, na Result slips za Form IV & VI hazitakubalika.

  5. Kila msailiwa atajigharamia chakula, usafiri na malazi.

  6. Waombaji waliomaliza nje ya Tanzania wahakikishe vyeti vimehakikiwa na kuidhinishwa na TCU, NACTE au NECTA.

  7. Kwa waombaji wa nafasi ya Udereva, lazima waonyeshe leseni halisi ya Daraja C au E pamoja na vyeti vya mafunzo.

  8. Wasailiwa wote wanapaswa kunakili namba zao za mtihani kupitia akaunti zao za Ajira Portal kabla ya usaili, kwani hazitatolewa siku ya usaili.

  9. Hali ya hewa ya Karatu kwa kipindi hiki ni baridi, hivyo wasailiwa wanashauriwa kuvaa nguo zinazostahimili ubaridi.

  10. Waombaji ambao majina yao hayajaorodheshwa, watambue kuwa hawakukidhi vigezo, lakini wanahimizwa kuomba tena kwenye nafasi zijazo.

Ratiba ya Usaili

Usaili wa Mchujo

  • Mwajiri: Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Kada: Msaidizi Maendeleo ya Jamii Daraja la II

  • Tarehe: 17-09-2025

  • Muda: Saa 1:00 asubuhi

  • Mahali: Ukumbi wa Shule ya Sekondari Karatu

Usaili wa Mahojiano

  • Mwajiri: Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

  • Kada: Msaidizi Maendeleo ya Jamii Daraja la II

  • Tarehe: 18-09-2025

  • Muda: Saa 1:10 asubuhi

  • Mahali: Ukumbi wa Makao Makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

SOMA HII :  Majina ya Walioitwa Kwenye Mafunzo Kusimamia Uchaguzi October 2025 :INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi

DOWNLOAD Majina ya Walioitwa kwenye Usaili

Tangazo hili limetolewa na:
Mkurugenzi Mtendaji
Halmashauri ya Wilaya ya Karatu

Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Majina ya Walioitwa Kwenye Mafunzo Kusimamia Uchaguzi October 2025 :INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi

October 19, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili kusimamia uchaguzi 2025 – INEC Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

October 12, 2025

Nafasi 70 Za Kazi Unitrans Tanzania Limited Madereva wa Malori 2025

September 17, 2025

Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo 2025

September 13, 2025

Nafasi za kazi Zilizotangazwa Leo Ajira Portal 2025

September 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

September 9, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Majina ya Walioitwa Kwenye Mafunzo Kusimamia Uchaguzi October 2025 :INEC Tume ya Taifa ya Uchaguzi

October 19, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili kusimamia uchaguzi 2025 – INEC Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi

October 12, 2025

Nafasi 70 Za Kazi Unitrans Tanzania Limited Madereva wa Malori 2025

September 17, 2025

Tangazo la Kuitwa Kwenye Usaili Halmashauri ya Wilaya ya Karatu 2025

September 13, 2025

Tangazo la Nafasi za Kazi Halmashauri ya Wilaya ya Namtumbo 2025

September 13, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.