Bei ya unit moja ya maji dawasa shilingi ngapi

Bei ya Unit 1 ya Maji Tanzania katika Mikoa mbalimbali
Bei ya Unit 1 ya Maji Tanzania katika Mikoa mbalimbali

Maji ni muhimu katika Mahitaji yetu ya kila siku lakini tulishawahi kujiuliza Mamlka ya maji inapangaje gharama za maji wa Unit 1 na je binadamu wa kawaida anaweza kutumia unit ngapi kwa siku? Tumekuletea muongozo kamili kama ulivyotolewa na Wizara ya maji Tanzania.

Bei ya Unit 1 ya Maji Tanzania katika Mikoa mbalimbali

Bei ya Unit 1 ya Maji Tanzania katika Mikoa mbalimbali

Pakua Muongozo wa Bei katika PDF

Jinsi ya Kuahamu Bei ya Maji mkoani kwako

Piga *152*00#

Chagua Namba 6 Maji

Chagua namba 2 mamlaka za Maji

Chagua mamlaka yao ya Maji mfano :Mauwasa namba 2

Chagua 4 Taarifa nyingine

Chagua namba 1 Gharama za maji

SOMA HII :Bei Ya Unit Moja Ya Umeme Tanesco Tanzania

SOMA HII :  Bei ya TVS HLX 150X Mpya
About Burhoney 4806 Articles
Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati