Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
Makala

Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania

BurhoneyBy BurhoneyFebruary 22, 2025No Comments2 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
Orodha ya Code Za Mitandao ya Simu Tanzania
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Katika dunia ya kisasa, matumizi ya simu za mkononi yamekuwa sehemu muhimu ya maisha ya kila siku. Moja ya vipengele vinavyoleta mabadiliko katika utumiaji wa simu ni code za mitandao ya simu ambazo hutumika kutambulisha na kutofautisha mitandao mbalimbali ya simu. Katika makala hii, tutajadili orodha ya code za mitandao ya simu nchini Tanzania, pamoja na umuhimu wao kwa watumiaji wa huduma za simu.

Kwa mawasiliano ndani ya Tanzania namba za kieneo hutanguliwa na “0”. Kufikia simu kutoka nje ya nchi kuna namba ya kimataifa 00255 (sawa na +255) inayofuatiliwa na namba ya kieneo bila 0 na namba ya simu.

Aina ya itandao ya Simu Tanzania

Tanzania ni nchi endelevu katika swala la teknolojia kama yalivyokua mataifa mengine. Kwenye ulimwengu wa mawasiliano Tanzania pia imeshuhudia kukua kwake kwa kua na idadi kubwa ya makampuni yaa simu. Hapa chini ni kampuni za mawasiliano ya simu zinazopatikana Tanzania.

1. Tigo/Yasi

2. Vodacom

3. Airtel

4. Halotel

5. TTCL

6. Zantel

Namba za simu za mkononi

Namba hizi huanza kwa 6 au 7 na kuwa na tarakimu 9 (bila sifuri).

Simu za mkononi Tanzania
Namba ya mtandaoKampuni
62Halotel (Viettel)
65TIGO (Mobitel)
66Smile Communications Tanzania Limited
67TIGO (Mobitel)
68Airtel Tanzania Limited
69Airtel Tanzania Limited
71TIGO (Mobitel)
73TTCL Tanzania Telecommunications Company Ltd
74Vodacom (Celtel)
75Vodacom (Celtel)
76Vodacom (Celtel)
77Zantel (Zanzibar Telecom Ltd)
78ZAIN

SOMA HII :  Bei ya Tumbaku Tanzania
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

WhatsApp Group Join Now
Telegram Group Join Now

Related Posts

Vidonge vya Uzazi wa Mpango kwa Mama Anayenyonyesha

December 15, 2025

Dawa ya malaria kwa mama mjamzito

December 15, 2025

How to register mukuru in zimbabwe

December 8, 2025

Hadithi za kutia moyo

December 8, 2025

Bei ya mashine ya kutengeneza mkaa mbadala

December 1, 2025

Jinsi ya kutengeneza mkaa kwa kutumia vumbi la mkaa

December 1, 2025

Comments are closed.

Latest Posts

Zimamoto Recruitment Portal Login:Mfumo wa Maombi ya Ajira Jeshi la Zimamoto na Uokoaji

December 13, 2025

Majina ya Walioitwa kwenye Usaili Jeshi la Zima moto PDF Download December 2025

December 12, 2025

MAJINA Walioitwa Kwenye Usaili MDAs & LGAs 2026

December 12, 2025

Orodha ya Majina walioitwa kwenye Usaili kada ya Afya na Ualimu Ajira portal December 2025

December 4, 2025

Mfumo wa Maombi ya Ajira kwa Kada za Afya na Elimu TAMISEMI

November 26, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.