Close Menu
swahiliforums.com
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
BOFYA HAPA
  • Home
  • Ajira Mpya
  • Elimu
  • Michezo
  • Makala
Facebook X (Twitter) Instagram
swahiliforums.com
Home » Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR
Makala

Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR

BurhoneyBy BurhoneyMarch 11, 2025No Comments3 Mins Read
Share Facebook Twitter Telegram WhatsApp
Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR
Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR
Share
Facebook Twitter Telegram WhatsApp
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA

Mamlaka ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imetangaza viwango vya nauli kwa treni ya SGR kwa safari tofauti.

Muundo wa Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR

Nauli za SGR zimewekwa kwa kuzingatia umbali wa safari usika na umri wa abiria. Kwa watu wazima na watoto wenye umri zaidi ya miaka 12, nauli imetajwa kuwa ni Tsh. 69.51 kwa kila kilomita. Watoto wenye umri kati ya miaka 4 na 12 watalipa nusu ya bei hiyo, yaani Tsh. 34.76 kwa kilomita. Watoto chini ya miaka minne watasafiri bure, lakini taarifa zao zitahitajika kurekodiwa.

Hizi ndizo Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR  Kwa Abiria Wenye umri zaidi ya miaka 12

Mchanganuo wa nauli hizo kwa daraja la kawaida kulingana na umbali wa vituo kuanzia Dar es Salaam hadi Makutupora kwa watu wazima na watoto wenye umri zaidi ya miaka 12 ni kama ifuatavyo;

Safari Umbali (Km)Nauli (Shilingi)
KutokaKwendaDaraja la Kawaida
Dar es SalaamPugu191000
Dar es SalaamSoga514000
Dar es SalaamRuvu735000
Dar es SalaamNgerengere134.59000
Dar es SalaamMorogoro19213000
Dar es SalaamMkata22916000
Dar es SalaamKilosa26518000
Dar es SalaamKidete31222000
Dar es SalaamGulwe354.725000
Dar es SalaamIgandu387.527000
Dar es SalaamDodoma44431000
Dar es SalaamBahi501.635000
Dar es SalaamMakutupora53137000

Nauli za Treni ya Mwendokasi SGR 2024 Kwa Abiria Wenye umri Kuanzaia Miaka 4 hadi 12

Aidha, mchanganuo wa nauli kwa daraja la kawaida kulingana na umbali wa vituo kuanzia Dar es Salaam hadi Makutupora kwa watoto wenye umri kuanzia miaka minne (4) hadi 12 ni kama ifuatavyo;

SafariUmbali (Km)Nauli (Shilingi)
KutokaKwendaDaraja la Kawaida
Dar es SalaamPugu19500
Dar es SalaamSoga512000
Dar es SalaamRuvu732500
Dar es SalaamNgerengere134.54500
Dar es SalaamMorogoro1926500
Dar es SalaamMkata2298000
Dar es SalaamKilosa2659000
Dar es SalaamKidete31211000
Dar es SalaamGulwe354.712500
Dar es SalaamIgandu387.513500
Dar es SalaamDodoma44415500
Dar es SalaamBahi501.617500
Dar es SalaamMakutupora53118500

Masharti Kabla ya Safari Kuanza

LATRA imetoa masharti kadhaa ambayo yanapaswa kutimizwa kabla ya kuanza kwa safari za SGR. Masharti haya ni pamoja na:

  • Shirika la Reli Tanzania (TRC) kuwa na leseni ya usafirishaji
  • Miundombinu ya reli na mabehewa kuwa na ithibati ya usalama
  • Matumizi ya mfumo wa utoaji tiketi za kielektroniki
  • Kuunganishwa kwa mfumo wa tiketi na mifumo ya LATRA
  • Uwepo wa watumishi waliothibitishwa na waliosajiliwa na LATRA
JIUNGE NASI WHATSAPP BOFYA HAPA
JIUNGE NASI TELEGRAM BOFYA HAPA
Follow on Telegram Follow on WhatsApp
Share. Facebook Twitter Email Telegram WhatsApp
Burhoney
  • Website

Nina uzoefu wa zaidi ya miaka 10 katika Ulimwengu wa Blogin ,Na Uandishi wa Makala Mbalimbali mitandaoni katika kuhakikisha nakuletea kilichobora nimekuwa nikitumia muda Wangu mwingi kujifunza juu ya mabadiliko ili kuendana na wakati

Related Posts

Chanzo cha uchawi duniani

June 14, 2025

Chanzo cha meli ya titanic kuzama

June 14, 2025

Chanzo cha vita urusi na ukraine

June 14, 2025

Majina ya Form Six Waliochaguliwa Kujiunga na JKT Kwa Mujibu wa Sheria 2025

May 27, 2025

100+ misemo maarufu kuhusu maisha

May 25, 2025

Misemo ya dharau ya kuchekesha na ya kupost status

May 24, 2025
Leave A Reply Cancel Reply

Latest Posts

Nafasi 137 za Kazi Kutoka UTUMISHI – Taasisi Mbalimbali Juni 2025

June 13, 2025

Nafasi 83 za Kazi Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS) June 2025

June 12, 2025

Nafasi za Kazi – NARCO (Kampuni ya Ranchi za Taifa) – Juni 2025

June 12, 2025

Majina ya Walioitwa kazini Ajira Portal Utumishi PSRS 2025 PDF Download

June 12, 2025

Majina Ya Walioitwa Kwenye Usaili UTUMISHI na Ajira Portal 2025

June 12, 2025
Load More

Subscribe to Updates

Usipitwe na Habari zetu za kila siku Kuwa wa kwanza kupata Habari zetu Kwa Kuandika Email yao Hapo chini

SwahiliForums Ni jukwaa la Habari na Makala mbalimbaali kwa Lugha kiswahili Habari za Michezo,Elimu, Biashara,Ajira Mpya na Dondoo za Afya Endelea kutufuatilia kwa kutembelea site yetu SwahiliForums.com

Karibu kwenye Swahiliforums, jukwaa lako la kipekee kwa habari, maarifa, na mijadala inayoangazia masuala ya kijamii, uchumi, na utamaduni kutoka kwa mtazamo wa Kiswahili. Hii ni blog ambayo inalenga kutoa taarifa za kina kuhusu matukio ya sasa, maisha ya kila siku, na masuala muhimu yanayoathiri jamii zetu katika eneo la Afrika Mashariki na duniani kwa ujumla.

swahiliforums.com
Facebook X (Twitter) Instagram WhatsApp Telegram Pinterest
Copyrights reserved @2025 swahiliforum.com

Type above and press Enter to search. Press Esc to cancel.